BARUA RASMI KUTOKA TFF KUHUSU SAKATA LA POINTI 3 KATI YA KAGER SUGAR NA SIMBA SC




  Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewajibu rasmi Simba SC juu ya sakata lao la kupokwa pointi tatu za mezani walizopewa baada ya rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar wakidai kumcheza mchezaji Mohamed Fakhi akiwa na kadi tatu za njano.
 
Kwa mujibu wa barua kutoka katika Bodi ya Ligi zimesema kuwa Fakhi hakuwa na kadi tatu za njano wakati akicheza mchezo dhidi ya Simba uliofanyikia uwanja wa Kaitaba, Bukoba Aprili 2 mwaka huu.

"
 


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Komentar untuk " BARUA RASMI KUTOKA TFF KUHUSU SAKATA LA POINTI 3 KATI YA KAGER SUGAR NA SIMBA SC"

Back To Top