NAFASI 150 ZA AJIRA/KAZI ZA UDEREVA KUTOKA SERIKALINI



DESCRIPTION  OF THE WORK

The Secretary of Public Service Employment Secretariat on behalf of Employees in various Government Departments welcomes applications from qualified Tanzanians and the ability to fill out the workforce (150) Drivers level II.



>>>>CLICK HERE TO READ AND APPLY

Share :

Facebook Twitter Google+
151 Komentar untuk "NAFASI 150 ZA AJIRA/KAZI ZA UDEREVA KUTOKA SERIKALINI"

Mm fredrick mrema ninausoefu nakazi ya udereva nina leseni dalaja `c`nipo tiali kwamajlibia mda wowote

Mm fredrick mrema ninausoefu nakazi ya udereva Nina lesen'c'nipotiala kwa majalibio mda wowote

Mm fredrick mrema ninausoefu nakazi ya udereva nina leseni dalaja `c`nipo tiali kwamajlibia mda wowote

Mimi heaven lyimo nina lesen c1ninao uzoefu wa kutosha

Mimi heaven lyimo nina lesen c1ninao uzoefu wa kutosha

Mm Ramadhani bakari ninafuta kazi ya udereva,nina umri WA miaka 28,leseni class c1,nina uzoefu miaka minne,namba ya simu 0717494628

HAY MAOMBI YA KAZI YA UDEREVA
husika na kichwa Cha habari hapo juu mm ni MARTINE RENATUS KAZUNGU mwenye umri wa miaka 28 mwenye akili timamu Sina mapungufu yoyote naomba nafasi ya kazi katika kampuni yako Mimi Kama kijana ninae penda maendeleo vile vile ni mzoefu wa kuendexha magari yoyote nambatanisha nakala zangu zifatazo cheti Cha udereva na leseni yangu kwa mawasiliano zaidi phone number 0763724669

Naitwa john jilala umri 25 elimu form four na pia nipata basic diving course veta shinyanga na kupata leseni ya madaraja yote uzoefu mwaka mmoja naomba Nazi 0756364464

Natwa Danieli tomo na umri wa miaka 32 nimemaliza elimu ya msingi naomba kazi ya udereva nimesoma beseni na paa ninauzoefu wa kuendesha magari naomba kazi kwenye Kajob yako asante

Mimi Ramadhani juma ninaomba
Kazi ya udereva katika taasisi yako
Nina uzoefu WA miaka 13 na Nina leseni class c na Nina Cheti cha Nit








Simu namba 0713410462

Au Ramadhanimakota057@gmail.com

mimi daniel mariki ninaumri wamiaka 35 naomba nafasiyaudreva kwenye ofisiyako nina uzoefu warutindefu zaidi yamiaka 20 ninaleseni c ninavyeti vifuatavyo 1veta chaufundi 2 cheti chaudreva chaveta3 cheticha NIT kwamawasiano 0757656685
9

Enter your comment...Naitwa joseph benard ni fundi magari pia ni dereva mwenye uzowefu wa miaka saba umli miaka27 namba za sim 0652041179

My name is rashida.i have enough experience of driving with good skills.my driving licence class A.D.E.C.C1.C2.C3 .my interest is to work with any Ngos.my contact 0784757777.

Kwajina naitwa Freeman G Kalalu napatikana Dar es Salaam Kinondoni Mbezi beach B Pwani,Nina uzoefu wa miaka mingi.Muda wangu nilioufanyia kazi kuanzia mwaka 2006 mpaka hii leo Mtaani na ofisini nimeweza kufanya kazi, niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote ile ambapo nitatakiwa kwenda na niko tayari kwa majaribio nitashukuru sana endapo nitapata mwaliko freeman.kalalu@gmail.com,Tel: +255 (0) 673797976

Kwajina naitwa Freeman G Kalalu napatikana Dar es Salaam Kinondoni Mbezi beach B Pwani,Nina uzoefu wa miaka mingi.Muda wangu nilioufanyia kazi kuanzia mwaka 2006 mpaka hii leo Mtaani na ofisini nimeweza kufanya kazi, niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote ile ambapo nitatakiwa kwenda na niko tayari kwa majaribio nitashukuru sana endapo nitapata mwaliko freeman.kalalu@gmail.com,Tel: +255 (0) 673797976

Mimi MAKURY MBAGA nina umri wa miaka 46,elimu kidato cha nne,lessen daraja C, mafunzo niliyoyapata katika chuo cha usafirishaji( NIT )DAR ES SALAAM naomba nafasi ya kazi ya udereva katika ofisi yako, simu namba 0763713133/0782775129.

Mimi Paulo lowasa Nina usoefu na udereva takribani miaka 6 na leseni yangu no class E namba zangu za simu 0655077496 nipo radhi kufanya kazi yoyote

NAITWA SHEDRACK F KAROU. Mkazi wa arusha moshono Nikijana mwenye umri miaka 24 elimu 4m4 ni dereva mzuri wa magari madogo lesen yangu class D uzoefu miaka miwili elimu yangu ya udereva veta . Nina uzoefu na kazi yaudereva naomba kazi ya udereva napatikana arusha kwa mawasiliano namba sim 0688700870 asante kwakusoma ujumbe wangu na kutendea kazi ubarikiwe,

NAITWA SHEDRACK F KAROU. Mkazi wa arusha moshono Nikijana mwenye umri miaka 24 elimu 4m4 ni dereva mzuri wa magari madogo lesen yangu class D uzoefu miaka miwili elimu yangu ya udereva veta . Nina uzoefu na kazi yaudereva naomba kazi ya udereva napatikana arusha kwa mawasiliano namba sim 0688700870 asante kwakusoma ujumbe wangu na kutendea kazi ubarikiwe,

Derev leseni class D na fundi wamagari kwamawasiliano no 0688700870

Kwa majina naitwa Masoud Abdallah Salim ni mkazi wa Dar Es Salaam nina umri wa miaka 30 na nina uzoefu wa miaka 18 katika fani ya udereva na leseni yangu ni class E,A,A1,A2,B,D,C1 na nina cheti cha veta naomba nafasi hiyo kwa hali na mali namba yangu ya simu ni 0718966538. asante sana

Kwa majina naitwa aggrey hamisi kaseleko ni mkazi wa Dar es salaam nina umri wa miaka 24 na nina uzoefu wa miaka mitatu katik fani ya udereva na leseni yangu ni class D,C1,C2,C3,A,A1,A2,B na nina cheti cha veta naomba nafasi hiyo kwa hali na mali kutokana na ungumu wa maisha namba zangu za simu 0672168245

Naitwa alifa saidi natafuta kazi ya udereva wa magari madogo nipo Dar es salaam popo nafanya 0686863188

Naitwa AMOS WILLIAM KAMAKA Natafta kazi ya udereva umri miaka 32 Nina lesen daraja E nimeitumikia miaka nane Nina uzoefu sana wa magari elim kidato cha nne, elim ya ufundi VETA, vile vile nimehitimu mafunzo ya udereva katika chuo cha usafirishaji NIT

AMOS WILLIAM KAMAKA
Natafta kazi ya udereva Nina umri wa miaka 32 Niko Dodoma Nina uzoefu sana wa magari aina yoyote Nina leseni class E kwa kipindi cha miaka nane ,elim yangu kidato cha NNE,nilihitimu mafunzo ya ufundi wa awali VETA na nimehitimu mafunzo ya udereva katika chuo cha usafilishaji NIT ,,,namba yangu 0652-031130 na 0753-864067

Naitwa shakili Haidari Mohamedi nipo Dar es salaam tabata natafuta nafasi yakazi ya udereva nina umri wamika 27

naitwa goodluck magati gendo natafuta nafasi ya kazi ya udereva ninayo umri wa miaka 29,ninayo elimu ya kidato cha nne na pia nimeitimu mafunzo ya udereva veta no;0747438931, 0685781870

ARON DANIEL

Naitwa Aron Daniel, nina miaka 29, naishi Mbeya mjini. Ninatafta kazi ya udereva wa magari madogo. Nina lessen class D na nina uzoefu wa miaka 7 pia Nina chet cha mafunzo Veta. Niko tayar kufanya kazi sehem yoyote 0628567147

ARON DANIEL

Naitwa Aron Daniel, nina miaka 29, naishi Mbeya mjini. Ninatafta kazi ya udereva wa magari madogo. Nina lessen class D na nina uzoefu wa miaka 7 pia Nina chet cha mafunzo Veta. Niko tayar kufanya kazi sehem yoyote 0628567147

Naitwa Aziz Sulleimani,umri wangu ni miaka 28 naishi Dar es salaam,Ninatafuta kazi ya udereva kwenye kampun..nina reseni class C,PSV,Cheti cha kidato cha nne na nina cheti cha motorvehicle mechanics level two,0689982022

Enter your comment... naitwa rahimu .a. makuka natafuta nafasi ya kazi ya udereva nina cheti class d cha mafunzo ya udereva kutoka chuo cha udereva kiitwacho ufundi driving school nipo dar cm no:0755014844

This comment has been removed by the author. - Hapus

Nimeamin kina vilaza wengi hauwez kuomba nafasi ya kazi kupitia comment CV hakuna

Kwa majina naitwa shukrani mashauri nipo mwanza nipo umri wa 26 najitokeza kuomba kazi ya udreva nikazi nilio isomea pia ninauzoefu nayo wa mda mrefu nimesoma chuo cha taifa N I T madaraja ya leseni Ni b c c1 c2 c3 d e ahsante nipo tayari kufanya kazi mkoa wwote mawasiliano 0758783024

Kwa majina naitwa shukrani mashauri nipo mwanza nipo umri wa 26 najitokeza kuomba kazi ya udreva nikazi nilio isomea pia ninauzoefu nayo wa mda mrefu nimesoma chuo cha taifa N I T madaraja ya leseni Ni b c c1 c2 c3 d e ahsante nipo tayari kufanya kazi mkoa wwote mawasiliano 0758783024

Naitwa maganga ramadhani natafuta kazi ya udereva nina lesen daraja c c1 c2 c3 na chet cha N I T na nina uzoefu wa kutosha 0715 55 44 55

Vijana tusijiongeze Ndugu zangu tusitegemee kuajiriwa ubunifu na ujaribu utakufanya ujue we we upo wapi,tusikate tamaa

My name is msumi Salehe.i have 10 years of experience in the field of the driver. I was stady at makongo olive and mechanic at veta garde 2 and level 2 and computer information certificate. More detail 0774101866

Kwa Jina naitwa sharafi saidi elimu yangu darasa la saba fani yangu ni dereva ninauzoefu wa miaka mingi naombeni nafasi ya kazi nitafanya kazi kwa bidii na uwaminifu Mkubwa namba zangu ni 0653754135/0785950675

Kwa Jina naitwa sharafi saidi elimu yangu darasa la saba fani yangu ni dereva ninauzoefu wa miaka mingi naombeni nafasi ya kazi nitafanya kazi kwa bidii na uwaminifu Mkubwa namba zangu ni 0653754135/0785950675

Naitwa sharafi saidi fani yangu ni udereva
Elimu yang shule ya msingi ninauzoefu wa muda mlefu leseni yangu ni c1.nimezaliwa 1991 naomba kazi ya udereva nitakuwa mwaminifu na nitafanya kazi kwa bidii zote

Naitwa sharafi saidi fani yangu ni udereva
Elimu yang shule ya msingi ninauzoefu wa muda mlefu leseni yangu ni c1.nimezaliwa 1991 naomba kazi ya udereva nitakuwa mwaminifu na nitafanya kazi kwa bidii zote

WILLIAM DAUDI ninaomba kazi ya udereva ninauzoefu wa miaka 4 Nimezaliwa mwaka 1990 leseni yang na
A A2 B D c1 c2 c3 na E

This comment has been removed by the author. - Hapus

.
STEPHEN MBILINYI elimu yangu chuo kikuu fani yangu ni udereva nina uzoefu wa miaka minne leseni yangu ni B na D ni dereva wa magari madogo
niko tayari kufanya kazi kwa uti na ukamilifu
0677500729
NJOMBE

Charles John Njelekela:Ni kijana mtanzania ninayependa kuitumikia nchi yangu ya Tanzania Nina miaka28,nimehitimu kidato Cha 4,
Nina cheti Cha kidato Cha nne na pia nimesoma mafunzo ya udereva veta dodoma Tanzania,Nina leseni na uzoefu wa kutosha pia Nina Amini MUNGU BABA,nipo tayari kutumika na serikali yangu katika nafasi ya udereva kwa kanuni na Sheria zote za kazi,nipo dodoma mjini,namba za simu 0755 972 886.

Mimi faragha awadhi abdala ni kijana wa kitanzania ni mzalendo pia nimepita jeshi la kujenga nchi Yani jkt pia Nina cheti Cha veta umri wangu miaka 28 ninauzoefu wa kuendesha magar ya aina zote kasoro Sina daraja c kavu tu Ila mengine ninayo nipo tayari kuitumikia serikali ya jamuhuru ya Tanzania popote pale Niko moshi namba yangu ya simu ni 0673317158

Naitwa Philipo mathias mabakwe natafuta kazi ya udereva niko wilaya ya nyamagana mkoa wa mwanza, nina uzoefu wa kazi hii zaidi ya miaka (5) mitano, kuhusu cheti ninacho cha veta,naomba kupokelewa namba yangu ya CM ni 0756037068

Naitwa marko ngunda naomba kazi ya udeleva katika nimesoma chuo cha Taifa N I T ninauzoefu wa mda mlefu lesen yangu ni A c1 c2 c3 D ntashukulu san namba zangu ni
0657774427

Naitwa marko ngunda naomba kazi ya udereva ninachet cha chuo cha Taifa N I T ntashukulu kama ntaitwa kazin leseni yangu ni. A c1 c2 c3 D nipo dar es salaam. Asant namba yangu
0657774427

Naitwa baraka Victor nimkazi wa dar es salaam nikiwa na uzoefu wa kazi ya udereva hivyo naomba nafasi ya kazi ya udereva number phone 0783493157 barakajulius900@email.com

Naitwa mndima dismas nyaki nina umri wa miaka 30.elimu yangu kidato Cha 4 nimepitia mafunzo ya udereva chuo Cha usafirishaji n.i.t grade 11 v.i.p naitaji kazi ya udereva popote pale sekta binafsi au serikalini

Number zangu za simu ni 0678967353

Natafuta KAZI ya udereva leseni yangu class b,d 0693120405

Mimi naitwa Rashid Mohamed Kigogo,Nina umri wa miaka 33,nipo Dar es salaam,ninayoheshima kubwa kwako,ninauzoefu mkubwa wa kuendesha magari makubwa na madogo ,ninayo lesen daraja E, naomba nitumie hii kuomba Kaz kwako,ninaambatanisha na vivuli vya vyeti vyangu,ambavyo ni Chet cha form 4,Chet cha veta,copy ya learn ,namba yangu ni 0652048549

Mimi naitwa Rashid Mohamed Kigogo,Nina umri wa miaka 33,nipo Dar es salaam,ninayoheshima kubwa kwako,ninauzoefu mkubwa wa kuendesha magari makubwa na madogo ,ninayo lesen daraja E, naomba nitumie nafasi hii kuomba Kaz kwako,ninaambatanisha na vivuli vya vyeti vyangu,ambavyo ni Chet cha form 4,Chet cha veta,copy ya learn ,namba yangu ni 0652048549

Naitwa PASCAL Edwin KISIMA nina umri wa miaka 22 nilikua naomba kazi ya udereva na pia nina Mafuzo ya ufundi magari wa grade 2 nilikua naomba kuungana nanyi nifanye kazi.
Namba zangu ni 0784332216/0678844688/0626732216

Nahitwa Frances costantin nipo arusha natafuta kaz ya udereva Nina lessen class D Nina umri wa miaka 27 pia Nina uzoefu harabaran miaka 5

Naitwa salum bakari nipo dar natafuta kazi ya udereva nina class c nina cheti cha NIT nina cheti cha form vi na nina uzoefu wa miaka zaidi ya 6

Naitwa yusuph naishi mbagala natafuta kazi ya udeleva sio lazima iwe gar ata pikpik bajaji na gari leseni yangu A, A2, B, D asanteni sana mungu awabaliki sana

Mimi na michael nina miaka 25 ni dereva wa muda mrefu wa magari binafsi na mashilika mbali mbali ninauzoefu wa miaka 6 katika udereva wangu,nina elimu ya kidato cha nne kwa masiliano zaidi 0657087478 asante

Charles John Njelekela:Ni kijana mtanzania ninayependa kuitumikia nchi yangu ya Tanzania Nina miaka28,nimehitimu kidato Cha 4,
Nina cheti Cha kidato Cha nne na pia nimesoma mafunzo ya udereva veta dodoma Tanzania,Nina leseni na uzoefu wa kutosha pia Nina Amini MUNGU BABA,nipo tayari kutumika na serikali yangu katika nafasi ya udereva kwa kanuni na Sheria zote za kazi,nipo dar es salaaa. namba zangu ni 0747819069

Naitwa Sophia mwanyambo, ninatafuta kazi ya udereva ninauzoefu wa kazi leseni yangu ni daraja D

Naitwa Sophia mwanyambo natafuta kazi ya udereva nipo dar es salaam na leseni yangu ni daraja A2 na D

Naitwa Bruno Ringo natafuta kazi ya udereva sehemu popote Tanzania naweza kufanya kazi na leseni yngu yenye uzoefu mkubwa

Naitwa skanda, driver lesen Daraja A1, B, D, E , C1

Naitwa issa khamis ni mtanzania mwenye humri wamiaka 35 mkazi wa shinyanga nauzoefu wa kuendesha magari aina mbarimbar usiopungua miaka 11 adi sasa nilikua naomba nafasi yakazi ya udereva reseni yangu ni ,c,

Naitwa OSCAR LINUS KIBANO. Ninaomba kazi ya udereva,Ninaishi Dodoma mimi ni dereva ambae Nina uzoefu wa miaka 8 katika kuendesha magari ya aina zote piah nimesomea chuo cha serikali VETA na elimu yangu ni kidato cha nne,nimepitia mafunzo ya awali ya kijeshi yaani jkt 2017-2020 operation MERELANI Mimi ni MTANZANIA na vyeti ninavyo nitakuwa teyari kufanya kazi chini ya ofisi yako na kushirikiana kikamilifu na wenzangu
Namba za sim:0686965649
AHSANTE.

Naitwa steven mwakasege niko arusha ni dereva mzoefu na lesen C plen niko tayari kufanya kazi mahali popote kwa mawasilino zaidi 0687855104

Mi naitwa rashidi natafuta kazi ya udereva ninaozoefu wa miaka mitano5 na ninaweza kufanya kazi sehem yoyote apa nchin ata nje ya nchi naweza kufanya kazi

Nilisahau kuweka ukubwa wa reseni yangu A A² B C¹ C² C³ D E F G Jamani ninaombeni kaz ukubwa wa reseni yangu kama mnavyoona apo juuu

Jaman kuna alioitwa kufanya usaili

Habari ninaitwa omary saidy salim ninahitaji kazi ya udereva ninavyet vya NIT VIP NINAISHI MSASANI MAANDAZ ROAD KWA MAWASILIANO 0673466565 AU 0683578090


delete

Naitwa Emmanuel lema natafuta kazi ya udereva nina lesen daraja c c1 c2 c3 na nina uzoefu wa kutosha 0754021962

Am looking for a driver's job and am well experience on road sign and am 23 year's i have all the qualities of being a driver's

Naitwa seleman saidi mkumbwa ninaomba kaz ya udereva ninauzoefu wa kutosha kwa sas na fanya kazi kampuni ya cocacola bonit botlas moshi ninalesen daraj C na chet cha veta hivi naomba nafas ya kaz asante

Naitwa seleman saidi mkumbwa ninaomba na fas ya kaz ya udereva ninauzoefu wakutosha juu ya kaz hii kwa sas niko kampuni ya cocacola bonite botlas mosho kwa mawasiliano 0784848963 0713925002

Naitwa seleman saidi mkumbwa ninaomba kaz ya udereva ninauzoefu wakutosha kuendesha magar aina zote nana ambatanisha lesen na chet changu cha veta kwa sas niko kampun ya cocacola bonite botlas mosh kwa mawasiliano 0784848963 au 0713925002

Naitwa seleman saidi mkumbwa ninaomba kaz ya udereva ninauzoefu wakutosha kuendesha magar aina zote na ambatanisha lesen na chet changu cha veta kwa sas niko kampun ya cocacola bonite botlas moshi kwa mawasiliano 0784848963 au 0713925002

Kwa majina naitwa Suleiman Said Suleiman ninaomba kazi ya udereva ninauzoefu wakutosha kuendesha magari aina yoyote manual na automatic nimesomea udereva veta na cheti Cha veta kwa sasa nipo naendelea kupata udhoefu sina kwa mawasiliano 0673439414

Naitwa Mohamed Hassan Binde Ni Kijana Mwenye Umri Wa Miaka (23) Elimu Yangu Ni Kidato Cha Nne (4) Na Nina Uzoefu Na Fani Ya Udereva Kwa Muda Wa Miaka Miwili (2) Sasa Kwa Mawasiliano Zaidi Mnaweza Kunipata Kupitia Namba 0767360605 Au 0625724423 .

Ahsante

Habari Kwa majina naitwa Shaban Said Nina umri was miaka 21 naishi turiani ni dereva mwenye uzoefu wa mwaka 1 Sasa nilie hitimu mafunzo yangu ya udereva katika chuo Cha Ufundi Stadi VETA na kupata leseni daraja D naomba ajira Kwa yeyote anayo husika. Asante wenu katika ujenzi wa Taifa
Kwa Mawasiliano
0654300234
au
0687134983

Mimi Makeani Constantine Nyigodi Nina umri wa miaka 27. Ninaomba ajira ya udereve Nina uziefu wa kuendesha magari ya aina yote lesseni yangu ni daraja C. Kwa mawasiliano zaidi namba 0753162274

NAITWA CLEMENCE JOSEPH NJELEKELA NINA UMRI WA MIAKA 29 NIMEPITIA COURSE YA UDEREVA VETA NA NIT NINAOMBA KAZI YA UDEREVA NINAUZOEFU WA MIAKA SABA NAMBA ZANGU NI 0769769587 AU 0659838916 ASANTE

Naitwa Elisha John niko mikocheni naitaji kazi ya magari makubwa na madogo namba yangu 0710666252

Naitwa Erick Emmanuel niko kigamboni naitaji kazi ya magari ya madogo umri miaka 26 uzeifu uendesha magari ya madogo lessening yangu darajan D namba zangu hii 0719588206/0759733311

Naitwa Mathias Costantine nipo Shinyanga ninaumri wa miaka 30,naomba kazi ya udereva wa magari madogo na makubwa ninauzoefu wa miaka 10 ninachet cha udereva na lessen ya Class C1. Namba ya sim 0712062621/ 0747559372

Naitwa abas kutoka Arusha natafuta kazi ya udereva leseni yangu ni class c1 nina uzoefu wa kutosha naongea kingereza na kifaransa namba yangu ya simu ni 0766668920

Naitwa Joyce Mushi, Nina miaka 37 mkazi wa morogoro, naomba kazi ya udereva Nina leseni ya udereva class C1 C2 C3 na uzoefu wa kuendesha gari kwa muda mrefu.

Ninaitwa Joyce Mushi Nina miaka 37 mkazi wa morogoro naomba kazi ya udereva Nina leseni ya udereva class C1 C2 C3 ni mtanzania, namba ya simu ni 0713628362.

Mim naitwa Robert ninauzoefu na kuendesha magari yote naomba ajila katika kampuni yako namba zangu ni 0742540721

mimi naitwa noelly joseph nimzoefu wa kuendesha magari yote naomba ajira katka kampuni yako NAMBA ZANGU HIZO HAPO 0625011328

kwamajina naitwa Yeka Nsubili nna umri wa miaka 18 natokea Kyela,mbeya Tanzania ni dereva wa gari aina zote nna leseni pamoja na cheti nilichohitim katika chuo kinachofaamika kiserikali Kyela polytechnic college (K.P.C) mawasiliano yangu ni 0625021997 au traigoty@gmail.com

Naitwa Christopher lavile.nimzaliwa wa Mbarali mbeya. nina umri wa miaka 26 nidereva wa magari makubwa na madogo. Nina lesen class A,A2,B,D,na E.pia nina cheti cha udereva nilichosomea.

Naitwa Daudi Josiah Simon
ninaumri wa miaka 24 ninaomba nafasi ya kaz ya udereva nina licence daraja E ninaelimu ya kidato cha nne nina cheti cha mafunzo ya awali na pia nina chet cha udereva daraja la pili V.I.P kutoka chuo cha NIT nipo tayari kufanya kazi kwa kujituma kwa juhudi na nidhamu wako katika kazi Daudi Josiah Simon
Mawasiliano 0753141546

Naitwa Hamisa mwamanda natafuta kazi ya udreva nina uzoefu wa kutosha lesen yangu ni class(c)nina cheti cha ufundi makenika cheti cha PSV nina chet cha form (IV) umri wangu nimiaka (34)nipo mkoa wa mbeya ni muwajibikaji,mkarim no ya sim 0782679460.

Naitwa rajabu ally daudi naishi dar es salaam naomba kazi ya udereva nina uzoefu wa barabarani wa miaka miwili na kuzifaham Sheria zake ELIMU kidato Cha nne Nina cheti division Four pamoja na cheti Cha basic driving na DRIVING LISENCE Niko tayari kufanya kazi hii endapo nikipata nafasi pia nitatoa ushirikiano na uwaminifu Nina umri wa miaka 23 naomba kazi hii nikiwa na akili timamu naomba unipe nafasi Mimi Kama kijana ninae penda maelendeo yangu na ya taifa pia. Kwa mawasiliano 0620856346

My name is Urio edward.i have enough experience of driving with good skills.my driving licence class A.D.E.my interest is to work with any Ngos
.my contact 0625840609 or 0710998609.

Naomba nafasi katika ya Kaz mm ni kijana mwenye uzoefu wa kutosha katika kazi yang leseni yangu A B D E C1 C2 C3 F G Nauzoefu wa kutosha napatikana mwanza contact 0674310811

NAitwa Mussa Julius naomba nafasi ya udreva ninauzoefu wa kutoaha na lessen class Ci c2 c3.naB.D mamba ya a.simu074510874_nipo moka wa mwanza

Mimi Mussa julius naomba nafasi ya udreva ninauzoefu wa kutosha learning ya C1.c2.c3 na B.D.number ya simu 0745108746 nipo mkoa wa Mwanza asanteni

Mimi GERVAS JOHN KASUGA ninaomba nafasi ya kazi ya udereva, umri wangu ni miaka30, elimu yangu ni kidato Cha nne nimehitimu udzungwa secondary School iringa, pia nimepitia VETA IRINGA, na baada ya hapo nimepitia mafunzo katika chuo Cha usafirishaji Cha taifa NIT dar es salaam, Nina uzoefu katika kazi ya udereva takribani miaka 10,.
Wako katika ujenzi wa taifa,
Gervas kasuga,
g.kasuga,
0672152283

Mimi GERVAS JOHN KASUGA ninaomba nafasi ya kazi ya udereva, umri wangu ni miaka30, elimu yangu ni kidato Cha nne nimehitimu udzungwa secondary School iringa, pia nimepitia mafunzo ya awali ya udereva katika chuo Cha VETA IRINGA,Na baada ya hapo nimepitia mafunzo katika chuo Cha taifa Cha usafirishaji NIT dar es salaam, uzoefu wangu katika kazi ya udereva ni takribani miaka 10 , leseni yangu ya udereva ni daraja C ,
Wako katika ujenzi wa taifa,
Gervas kasuga,
G.kasuga.
0672152283

Naitwa ayoub mahenge nilikua naomba nafac ya udereva ninachet Cha veta na nipo tayal kufanya Kaz popote pale mm ni mzaliwa wa mbeya kwa mawaciliano Zaid

0686866619

naitwa stephen niko tanga mjini natafuta kazi ya udereva nina uzoefu wa miaka 8 kwa mawasiliano 0753527327 or 0689527327

Habali wapendwa ? Kwamajina naitwa nyerere saimon msigwa niko wilaya ya Muranga mkoan pwani nchin Tanzania naomba kaza ya udereva nina licence 'c1,na chet cha veta piya naopalet kijiko na kulima na treckita aliyenauhitaji nami tuwasliane +255 654 958 977 au +255 656 251 650.

my names are joe mmari am looking driving job am the best in english language and swahili with driving licence class a,b,d.e my contact 0745712392

Jina langu naitwa Emmanuel enos
Umri miaka 23
Ninaleseni yenye class A,B,D,C1,C2,C3,E
Uzoefu wangu na miaka miwili
Email.enosemmanuel110@gmail.com
Contact 0626650283
Ahsanteniii

Ninaitwa Gilbert Mziho ninaumri wa miaka 50 nina cheri cha Udreva NIT Na JKT pia nimefanya kazi ya udreva na Ufundi katika Jeshi la Marekani yani mimi ni fundi Pia ni Dreva pia nimefanya kazi ya Udreva ST. Universty Mbezi kibamba pia nimefanya kazi ya kuwaendesha MasisterRoman Catholic kibaha kwaiyo naomba naisi hiyo ya udreva niweze tumikia Taifa langu nimatumaini yangu mtanikubalia hiyo nafasi niliyo iomba natanguliza shukurani za dhati Wenu katika ujenzi wa taifa Gilbert Mziho nipo kongowe kibaha pwani mawasiliano 0628684650/0746126375

Naitwa MOSESS M KABELGE NINA UMRI WA MIAKA 26 NI DEREVA MZOEFU NINAOMBA KAZI NAENDESHA GALI YEYOTE .

Naitwa MOSESS M KABELGE NINA UMRI WA MIAKA 26 NI DEREVA MZOEFU NINAOMBA KAZI NAENDESHA GALI YEYOTE . Namba yangu ni 0764539287

Naomba nafasi ya kazi ya udereva. Mimi ni dereva Nina umri 26 NI uzoefu na kazi kwa miaka 4 LICEN0764539287CE yangu A, A2, B, C1, C2, C3, D, E, F, G.
No yangu ni 0764539287

Ninaitwa yohana samson king'ung'alo naptikana iringa mufindi ninaomba kazi ya udeleva nba's leseni pia ninauzoefu na kazi hii namba ni 0762291818

Kwamajina Naitwa JUMA ALLY 24 Years old Ni mzaliwa wa Muheza Tanga, Ninahitaji kazi ya Udereve kwa Magari Binafsi Nina License Class D, C1, C2, B na E pia Niko na Cheti nilichokipata kwenye Chuo chenye kutambulika na Serikali. Niko Tayari kufanya kazi mkoa Wowote Tanzania Mawasiliano - +25569504152. AHSANTE


Kwa majina naitwa Shakiru Y.mustapha nina miaka 32
ninaishi dar esalaam, Ilala Tanzania.
Mh,Mk,n.k naomba unisaidie ajila ya Udereva wa kuendesha gari, kwani ninauzoefu mkubwa,ninaumakini na ni mahili pia nimchapaka kazi. Nina veti vya veta kipawa Tanzania. Vifuatavyo ninacheti cha ufundi simu na nina cheti cha Smart driving.lesen yangu inamadaraja yafuatayo
>A,A2,B,C1,C2,C3,D,na E.Tafadhali viongizi namba mnisaidie kazi nitashukuru sana. Namba yangu ni:
0716974059.

Abari kwamajina naitwa Robert fedrick mally nimwenyeji wa Dodoma. Ombilangu katika ofisi yako naomba kazi ya Udereva katika Ofisi yako .nimeitimu mafunzo yote nasheria zote na piya naujuzi ninao . Ombilangu katika Ofisi yako nihilo tu . Nashukuru sana napiya kwa mawasiliano.0692380729 . Asanteni sana.

Mimi naitwa Joseph newton nina lesen lcass C naomba nafasi ya udereva nina uzoefu mkubwa sana

Mimi naitwa Tone Joseph, nina umri wa miaka 23 nina leseni class C, Nina cheti cha uzoefu kutoka VETA nina uzoefu wa kutosha. Nimefanya kazi Dar ya kupeleka watoto shuleni, nimefanya kazi ya tax ,a pia kuendesha magari malori. Naheshimu masharti yote. Naomba kazi ya udereva serikalini na makampuni binafsi, mashifrika. natanguliza shukrani

Mimi Tone Joseph Mawasiliano yangu ni 0757691951

Naitwa Frank mapunda Nina chet Cha NIT daraj C1 na E Niko tayar kufany Kaz udereva.

Naitwa Leon paule kessy nimkazi wa chanika nina umri wa miak 25 ninauzoefu wa kuendesha magari ya aina yoyote ile pia nina leseni kam ifuatavyo A¹ A² B C¹ C² C³ D E ninavyo vyeti. Naomba nafasi kwenye kampuni y². Kwako katika ujenz wa taifa

Joanes joas wa Moshi Nina umuri wa miaka 23 niuzoefu wakuendesha magari ya aina yoyote ila pia Nina leseni daraja d Nina vyeti Nina omba kazi apo kwenye shirika lako

Emmanuel sitta ninauzoefu wakuendesha magari aina zote daraja D E C no0685466144

Mimi SHEDRACK SULUPISS KILUNGA naomba kazi ya udereva katika taasisi hii pia ni muhitimu wa udereva wa malori VETA DAR ES SALAAM TANZANIA na Nina CHETI CHA VETA

Namba zangu 0678337323 na 0766008809

Naitwa Kitwana tigana lawa ni kijana mwenye umri Wa miaka 38 naomba kazi ya udereva leseni Yangu ni daraja c plain Nina uzoefu mkubwa Wa kuendesha magari makubwa na madogo 0756880580/0768606160

Naitwa Anafi Mohamedi Jaweta Nina Umri Wa Miaka 33 Nina Elimu Ya Kids to Cha Nne Ni Dereva Mwenye Leseni Class C Nimesoma Chang'ombe Dsm Mwaka 2018 Lkn Pia Mwaka 2014 Nilisoma Course Ya Basic No Zangu Ni 0786380644

My name is Emmanuel Kombe, my age is 33, I live in Arusha, I am a driver, I studied NIT DAR ES SAALAM my license is A, A1, A2, A3, B, C1, C2, C3, D A and E

My education is form four and I have studied auto mechanics, I have a certificate of grade III and grades II NIT DAR ES SAALAM

MY NUMBERS 0744 500 510

Naitwa ally abubakary naishi dar es salaam natafuta kazi ya udereva namba zangu ni 0785754632. Nina daraja B&D nina cheti halali cha udereva na nina vyeti vya shule ya msingi na sekondari

Mm elibariki ladislaus nipo shinyanga daraja leseniB,D,E,F,G namba za simu 0623964039 Nina cheti shule ya msingi na secondary

Elisha Mang'anuka Elisha
Naishi bunju A
Mkristo
Leseni class C1,E,D
Nimeona

Kwa majina naitwa Nickson Mtahangarwa Dauson naishi sumbawanga mjin ninao uzoefu wa udereva kwa magari ya abiria na mizigo. Namba yangu ni 0742479758 email Nicksonmtahangarwa@gmail.com

NAITWA MANENO HAMISI NIMEMALIZA KIDATO CHA NNE NIMESOMEA NIT 2012 KATIKA KOZI YA PSV PHASE1 NA NIMESOMEA TENA NIT 2023 C plane NINAUZOEFU WA SAFARI NDEFU NANIKO TAYARI KUFANYA KAZI KOKOTE NO YANGU NI 0714 631515 IMAL manenomtoro04@gmail.com ASANTE

Naitwa hassani bakari njama nipo tanga ninaomba kazi ya udereva nina chet cha veta nanina reseni E C wani C tu na C siri nanina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nampka ss bado nipo kwe kampuni ya mtu bina fus na nipo tayr kuwajibika popote asnteni namba ni 0673808252

Naitwa Charles juma WA mwanza ,elimu yangu kidato cha 4 naomba kazi ya udereva katika sekta yako ,Nina cheti cha mafunzo na leseni class E, C1, C2, C3. Pia nauzoefu wa zaidi ya miaka 3. no 0742463668


Bakari said mbarouk
Bakarisaid747@gmail.com
Date / 7 mw 5 /1997
Beranda jobs.
Yahusu
Maombi ya kazi ya Udereva Mimi Bakari said mbarouk
Nahitaji nafasi ya kazi ya Udereva
Na pia nnauzoefu wa miaka 8 kwenye
kazi yangu ya Udereva na nimchapa kazi nimti ifu na nimtu makini kwenye kazi yangu asanteni
Natumai ombi langu
litapokelewa na kufanyiwa kazi
Kwako nimuaminifu na kua mtiifu
Bakari said
0772-548-855

Naitwa Ally Namaimbe ninaomba kazi ya udereva ninaelimu ya kidato cha Nne pia nimesoma NIT VIP lesen yangu ni C1 C2 C3 D na E natumain ombi langu litakubaliwa ahsant 0656 383801.

HAY MAOMBI YA KAZI YA UDEREVA
husika na kichwa Cha habari hapo juu mm ni EDWARD L. SWATY mwenye umri wa miaka 28 mwenye akili timamu Sina mapungufu yoyote naomba nafasi ya kazi katika kampuni yako Mimi Kama kijana ninae penda maendeleo vile vile ni mzoefu wa kuendexha magari yoyote nambatanisha nakala zangu zifatazo cheti Cha udereva na leseni yangu kwa mawasiliano zaidi phone number 0784193595

Husika na maada tajwa hapo juu mim no Luka kalulu maganga kutoka njombe Nina umli wa Mika 20 ninao huzoef wa kutosha , pia siwezi kuchagua gari la kuendesha kwani ninaweza kufanya vizuli Sana.vitu ambavyo ninavyo nicheti pamoja na lesseni , kwa mawasiliano Zaid namba yangu ya simu ni 0654125973. Napatikana mda wowote ,nitashukulu endapo ombilangu litafanyiwa kazi .

Mimi.fransic.Robert.shesheshe.was.korogwe.tanga.natafutaanafasi.ya.kazi.ya.udereva.nianaumri.was.miaka.42.nikiwa.lesen.daraja.d.ninaakili.timamu.namba.yangu.yasimu.0746.816784.na.0717463693

Naitwa lugera mkama mkazi wa mwanza natafta kazi ya udereva Nina umri wa miaka 24 Nina uzoefu wa miaka 3 Nina cheti piah...0763857850/0719317850

Naitwa Jordan Joseph mwenye umri wa miaka ishirini na nne(24)natokea mkoa wa Arusha nina uzoefu wa kuendesha magari kwa miaka minne na nina vigezo vya cheti Cha kuzaliwa namba ya nida cheti Cha form four na vyeti BASIC kutoka veta na PSV kutoka Arusha technical college.asante

Charles chomba umri miaka 26 nifundi wamagari nachet mvm pia ni dereva wa CLASS E,D,B,A1,A2 Na ninachet cha veta nipo barabarani miaka4 mawasiliano 0658838820

Yusuph yahya yusuph
Yusuphyahya63@gmail.com

Yahusu
Maombi ya kazi ya Udereva Mimi Yusuph Yahya Yusuph
Nahitaji nafasi ya kazi ya Udereva
Na pia nnauzoefu zaidi ya miaka sira ( 6 )kwenye
kazi yangu ya Udereva na nimchapa kazi nimti ifu na nimtu makini kwenye kazi yangu, asante
Natumai ombi langu
litapokelewa na kufanyiwa kazi
Kwako nimuaminifu na kua mtiifu
Yusuph yahya
0718 494961

naitwa Baraka salum ni Tanzania natafuta kazi ya udereva lesean yangu daraja c namba yangu ya simu 0713927019

Naitwa Isac Emmanuely natafuta kazi ya udeleva leseni yangu ni cras B had G ninauzoefu wa miaka 2 na nimchapakazi mtiifu na najituma piah naipenda kazi yangu naimani maombi yangu yatakubaliwa simu 0620443523.

Naitwa EGIDI RAJABU MANJORY.
Natafuta kazi ya udereva wa magari , leseni yangu ina class ,A,A2,B,D,E,F,G Nina uzoefu wa kwenye magari zaidi ya miaka 6 sasa nimefanya kazi kwenye makampuni mbili , na cv yangu ipo vizuri napatikana dar es salaam .
Namba yangu ya simu ni 0629243689

Back To Top